Chadema yatangaza kuanza kupokea taarifa za wagombea urais
Your browser doesn’t support HTML5
Chadema Tanzania yaeleza mchakato wa kupokea majina ya wagombea urais kwa tiketi ya Chadema zimeanza sambamba na kufungua milango ya majadiliana ya kuunda ushirika wa upinzani uchaguzi mkuu 2020.