Burna Boy yuko kwenye orodha ya Jarida la Times ya watu wenye ushawishi mkubwa 2024

Your browser doesn’t support HTML5

Mwanamuziki kutoka Nigeria na mshindi wa Tunzo za Grammy Burna Boy yuko kwenye orodha ya Jarida la Times akiwa ni miongoni mwa watu 100 wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni kwa mwaka 2024.