Bunge laendelea kujadili ahueni ya kiuchumi na kesi ya Trump
Your browser doesn’t support HTML5
Bunge la Marekani laendelea na kuangalia mpango wa ahueni wa kiuchumi kutokana na umuhimu wa msaada huo kufuatia hali ngumu inayo wakabili wananchi wengi wa Marekani iliyosababishwa na janga Ła COViD-19.