Bunge la Marekani labaini hatari kubwa iliyomkabili Makamu wa Rais wa zamani Pence
Your browser doesn’t support HTML5
Kikao cha kamati ya Bunge la Marekani kilicho chunguza ghasia za Januari 06 kilijikita kuonyesha jinsi uvamizi huo ulivyokuwa hatari sana kwa Makamu wa Rais wa zamani Mike Pence na familia yake.