Bobi Wine ana matumaini Museveni atawajibishwa na Mahakama ya ICC
Your browser doesn’t support HTML5
Bobi Wine nchini Uganda aelekeza malalamiko yake dhidi ya Rais Museveni na maafisa tisa wa usalama kutokana na kunyanyasika kwa sababu za kisiasa, Mahakama ya ICC, The Hague na ana. matumaini watawajibishwa.