Blinken asisitiza umuhimu wa demokrasia ziarani Kenya

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken katika ziara yake ya kwanza rasmi Afrika akisisitiza umuhimu wa demokrasia na kujumuishwa kwa jamii zilizoathirika kutokana na mivutano ya kisiasa.