- Maambukizi ya Ebola yaongezeka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) huku zoezi la chanjo likmendelea.
Duniani Leo : Biden na Harris wawakumbuka waliokufa na COVID-19
Your browser doesn’t support HTML5
Rais Joe Biden na Makamu Rais Kamala Harris wawakumbuka watu laki tano waliokufa kutokana na janga la Corona nchini Marekani.