Biden azungumza kuhusu Afghanistan
Your browser doesn’t support HTML5
Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Jumatatu kwamba kamwe Marekani haitakuwa na jukumu la kupigana katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Afghanistan, licha ya matukio ya kusikitisha ya Taliban kuchukua udhibiti wa mji mkuu Kabul.