Biden aapa kuwaondoa salama raia wa Marekani na Afghanistan

Your browser doesn’t support HTML5

Utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden umeapa kuhakikisha utawaondoa salama raia wa Marekani na raia wa Afghanistan waliyosaidia Jeshi la Marekani.
- Kenya yapokea chanjo zaidi ya dozi laki 8 za chanjo ya Moderna kutoka Marekani.

- Pia itakayofuatia ni makala maalum kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa.