Baraza la Wawakilishi Lajadili kumuondoa Trump Madarakani
Your browser doesn’t support HTML5
Baraza la Wawakilishi la Marekani limeanza kujadili tena uwezekano wa kumfungulia mashtaka Trump ili kumuondoa madarakani wakimshutumu kwa kuchochea umati kuvamia na kuharibu jengo la Bunge la Marekani - Congress, huku likifanya ghasia iliyopelekea watu watano kufariki.