Duniani Leo Baraza la Usalama lakutana kujadili mzozo wa kisiasa wa Haiti 8 Julai, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lafanya kikao cha dharura kujadili hali ya nchini Haiti baada ya rais wa nchi hiyo kuuwawa. - Idadi ya watu waliofariki kutokana na COVID-19 duniani kote yavuka milioni 4. - Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma aanza kutumikia kifungo cha miezi 15 gerezani.