#BALonVOA2021 : Matangazo mubashara ya Ligi ya BAL

Jiunge nasi na usikilize mubashara matangazo ya timu zinazo chuana katika Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika.

Jiunge nasi kupitia https://bit.ly/2RcwsEd au stesheni ya radio ya VOA katika eneo lako.

Ufunguzi wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika (BAL) inayozileta pamoja timu za Kiafrika 12 mjini Kigali, mji mkuu wa Rwanda, ulikuwa Mei 16 na michuano litadumu hadi Mei 30, 2021.