Baadhi ya Warepublikan wanadai Trump bado anaweza kushtakiwa
Your browser doesn’t support HTML5
Baada ya Baraza la Seneti Marekani kumuondolea hatia Rais wa zamani Donald Trump akihusishwa na shambulizi la Januari 6 katika Congress, baadhi ya Warepublikan wakisema anaweza kuendelea kushtakiwa.