Amnesty International yawashutumu wapiganaji wa Tigray
Your browser doesn’t support HTML5
Ripoti ya Amnesty International inasema wapiganaji wa Tigray wamebaka, wameiba na kuwashambulia wanawake baada ya kuchukua udhibiti kwenye mkoani wa Amhara mwezi Agosti.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari