Wataalam wa masuala ya kiuchumi wanasema tatizo hili limekuwa suala linalopaswa kushughulikiwa kwa haraka. Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) unavikutanisha vyama vya wakulima kutoka ukanda huo kujadili hali hiyo na vipi wanaweza kuikabili.
Afrika: Athari za mabadiliko ya hali ya hewa na kupanda bei za vyakula na nishati
Your browser doesn’t support HTML5
Athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa zinasababisha uwezo mdogo wa uzalishaji wa wakulima wadogowadogo, huku ongezeko la bei za vyakula na nishati likiendelea kuathiri Mashariki na Kusini mwa Afrika.