Afisa polisi wa zamani Derek Chauvin awasili gerezani

Your browser doesn’t support HTML5

Idara ya Magereza ya Minnesota Marekani imetoa picha ya afisa polisi wa zamani Derek Chauvin baada ya kuwasili gerezani mjini Minneapolis ikiwa tayari amekutikana na hatia ya mauaji ya Marekani Mweusi George Floyd.