AFCON 2023: Cape Verde yaishangaza Ghana

Your browser doesn’t support HTML5

Kocha wa Cape Verde Pedro 'Bubista' Brito amepongeza ladha maalum ya timu yake baada ya ushindi wao wa kushtukiza wa bao 2-1 dhidi ya mabingwa mara nne wa zamani Ghana katika mchezo wao wa ufunguzi wa Kombe la Mataifa ya Afrika  mjini Abidjan.