Mpango wa kutuma maafisa wa polisi wa Kenya kusaidia kupambana na magenge ya uhalifu nchini Haiti waendelea kukumbwa na changamoto.
Your browser doesn’t support HTML5
Mahakama ya Kenya siku ya Jumatatu ilisitisha kwa muda mpango wa serikali wa kutuma polisi nchini Haiti kwenye operesheni inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa inayolenga kurejesha utulivu katika taifa hilo linalokabiliwa na changamoto kubwa ya magenge.