Wakaazi wa eneo la Kivu Kusini huko DRC wanalalamika kusambaa kwa harufu mbaya kufuatia kuharibika kwa miili ya watu waliokumbwa na mafuriko

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.