Pande zinazopingana Sudan kurejea kwenye mazungumzo Jumapili

Your browser doesn’t support HTML5

Pande zinazopingana Sudan kurejea kwenye mazungumzo Jumapili huku mashambulizi ya anga na mapigano makali yakiendelea usiku kucha kuzunguka Khartoum licha ya makubaliano ya kuwalinda raia.