Vyams sita vya kisiasa Kenya vyaungana na chama tawala

Your browser doesn’t support HTML5

Vyama sita vya kisiasa nchini Kenya vyatangaza azma ya kujiunga na chama kikuu cha muungano uanaotawala, cha UDA, huku utawala wa Rais William Ruto ukishutumiwa kwamba unatumia mbinu zinazokiuka maadili ya demokrasia, kudhoofisha upinzani nchini humo.