Viongozi wa mataifa maskini zaidi duniani wazungumzia mzigo mkubwa wa ukosefu wa nafasi za ajira kwa vijana

Your browser doesn’t support HTML5

Viongozi kutoka mataifa maskini zaidi duniani wameeleza masikitiko yao katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi nchi zao zinavyotendewa na nchi tajiri, ambazo zinasema zimesababisha kutokuwepoo nafasi za kutosha za ajira kwa vijana.