Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron afanya ziara katika nchi za Afrika ya kati huku hisia dhidi ya nchi yake ikizidi kuongezeka barani Afrika

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.