Wachambuzi wa siasa za maziwa makuu wanasema mzozo wa Rwanda na DRC huenda ukachukua sura mpya kutokana na vita vya maneno vinavyoendelea

Your browser doesn’t support HTML5

DRC inailaumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wa M23 huku Rwanda ikiilaumu DRC kuwaunga mkono waasi wa FDLR ambalo ni kundi la wapiganaji wa kihutu ambalo Rwanda inalilaumu kuendesha mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 na baadae kukimbilia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC)