Wamiliki wa shule na vyuo vya Uganda washutumiwa kwa ulaghai

Your browser doesn’t support HTML5

Taarifa za vyombo vya habari zinaeleza kwamba kumekuwa na ongezeko kubwa la visa vya ulaghai uanaofanywa na wamiliki wa shule na vyuo vya kibinafsi nchini Uganda, hususan kuhusiana na matangangazo yanayotolewa na taasisi hizo, ya kuwavutia wateja.