Ulimwengu waukaribisha mwaka mpya kwa sherehe mbali mbali

Your browser doesn’t support HTML5

Ulimwengu uliukaribisha mwaka mpya kwa sherehe iliyojaa watu huko Times Square New York na fataki zilizotanda anga katika miji mikuu ya Ulaya, huku kukiwa na matarajio ya kumalizika kwa vita nchini Ukraine na kurejea kwa hali ya kawaida ya baada ya COVID-19 huko Asia.