Ulimwengu unaendelea kuomboleza kifo cha mchezaji mahiri wa soka Duniani Pele raia wa Brazil aliyefariki Alhamis akiwa na miaka 82

Your browser doesn’t support HTML5

Pelé alikuwa mmoja wa wachezaji mahiri wa mpira wa miguu na muda wote alitikisa michuano ya Kombe la Dunia kwa Brazil katika michezo ya klabu pamoja na ziara za kimataifa na timu yake ya Santos kabla ya kuleta msisimko wa mchezo wa soka kwa klabu ya soka ya kulipwa ya Marekani, New York Cosmos