Je, rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa atashinda mawimbi ya kisiasa yanayompiga kutokana na madai ya utakatishaji wa fedha?

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.