Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kondom za bure zitapatikana katika maduka ya dawa kwa mtu yeyote hadi miaka 25 kuanzia mwaka 2023

Your browser doesn’t support HTML5

Hatua hiyo mpya inakuja wakati kasi ya magonjwa ya zinaa na mfumuko wa bei vikiongezeka nchini Ufaransa. Wasichana na wanawake tayari wanapatiwa dawa za bure za uzazi wa mpango nchini Ufaransa.