Viongozi wa upinzani Kenya wakiongozwa na Raila Odinga wameanza mikutano ya hadhara ya kisiasa dhidi ya utawala wa Rais William Ruto

Your browser doesn’t support HTML5

Viongozi hao wanashtumu utawala wa Ruto kwa kushindwa kurejesha chini gharama ya juu ya maisha, kuwatimua kwa lazima makamishna wa tume ya uchaguzi, ukiukaji wa katiba katika uteuzi wa wasimamizi wa ofisi za umma pamoja na utekelezaji wa mfuko wa fedha usiokingika kisheria