Mjadala mkubwa waendelea Kenya kuhusiana na kuagizwa kwa vyakula vya GMO nchini, ili kukabiliana na uhaba wa chakula uliyopo.

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.