Kenyatta aeleza masikitiko kuona maelfu ya watu waliofurushwa makwao DRC

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta Jumatano alitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuingilia kati kwa haraka, na kutanzua mzozo unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako mapigano kati ya jeshi na waasi wa M23 yamepamba moto tena.