Yaliyomo kwenye mkataba wa reli ya SGR kati ya Kenya na China yaibua utata

Your browser doesn’t support HTML5

Mkataba wa reli ya standard gauge (SGR) uliotiwa saini na Kenya unawapa mamlaka makubwa wakopeshaji wake wa Uchina, ikiwa ni pamoja na kutaka usuluhishi wa mzozo wowote utakaofanyika Beijing, stakabadhi zilizotolewa na serikali baada ya miaka ya usiri zimeonyesha.