Maandamano makubwa ya upinzani yafanyika Tunis, mji mkuu wa Tunisia tangu kwa Rais Kais Saied kunyakua madaraka kamili mwaka jana.

Your browser doesn’t support HTML5

Maandamano makubwa ya upinzani yafanyika Tunis, mji mkuu wa Tunisia tangu kwa Rais Kais Saied kunyakua madaraka kamili mwaka jana. Waandamanaji wanalalamika dhidi ya ukosefu wa chakula na mafuta.