Zaidi ya watu 12 wameuawa kwenye kijiji cha masome nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)

Your browser doesn’t support HTML5

Hali ya ukosefu wa usalama mashariki mwa DRC inazidi kuzorota ambapo zaidi ya watu 12 wameuawa huko Masome eneo linalopakana na mji wa Komanda pamoja na mkoa wa Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC)