Milionea mfanyabiashara wa Almasi ameshinda uchaguzi wa bunge nchini Lesotho na ametangaza kuongoza serikali ya muungano ya vyama vitatu

Your browser doesn’t support HTML5

Milionea mfanyabiashara wa madini ya Almasi ambaye alishinda uchaguzi wa bunge nchini Lesotho wiki iliyopita leo Jumanne ametangaza kuwa ataongoza serikali ya muungano ya vyama vitatu