Dunia inaadhimisha siku ya mtoto wa kike ni miaka kumi tangu kuanzishwa kwake zikiimarishwa sera na utekelezaji kumlinda mtoto wa kike

Your browser doesn’t support HTML5

Mwanaharakati wa masuala ya mtoto wa kike Fadhila Hamisi kutoka Mombasa huko Kenya anawahamasisha wasichana kujitokeza na kutumia fursa za kupata elimu kwa ajili ya manufaa katika maisha yao baadae