Dunia yaadhimisha siku ya afya ya akili

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati dunia ikiadhimisha siku ya afya ya akili, mataifa ya Afrika yaelezwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaojiua huku wengine wakiwa hawafahamu kuwa na tatizo. Mjadala waibuka baada ya kauli ya rais wa Kenya William Ruto kusema Afrika mashariki iwe nchi moja na mipaka kuondolewa.