Vijana nchini Tanzania wanaitaka serikali kubuni njia mbadala ya kunusuru ongezeko la bei ya chakula

Your browser doesn’t support HTML5

Ongezeko la bei ya chakula linapelekea jamii hususani vijana nchini Tanzania kuiomba serikali nchini mwao kuweka mipango yenye tija kwa vijana kujikwamua na ongezeko la bei ya chakula ambacho ndio msingi wa uhai wa maisha