Tanzania: Rais Samia awataka mawaziri wapya aliowateua kuzingatia majukumu yao ipasavyo

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka mawaziri ambao anawateua kutekeleza majukumu yao ipasavyo wakizingatia mambo makubwa matatu ambayo ni kuheshimu katiba ya nchi, kufahamu mipaka yao nakutunza siri za Serikali.