Kenya: Mahakama ya Juu yaamuru kura kuhesabiwa upya kutoka vituo 15

Your browser doesn’t support HTML5

Baada ya Mahakama ya Juu kuamuru kuhesabiwa upya kwa masanduku ya kura kutoka vituo 15 vya kupigia kura Kenya, zoezi hilo linaendelea katika majengo ya mahakama.

Viongozi wa dunia waendelea kutuma salamu za rambirambi kumuenzi hayati Mikhail Gorbachev.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.