Rwanda na Denmark zasaini makubaliano ya kushughulikia suala la waomba hifadhi
Your browser doesn’t support HTML5
Rwanda na Denmark zimetia saini makubalino ambapo nchi ya Denmark itajenga kituo cha kimataifa kitakachokua na jukumu la kuwapokea watafuta hifadhi nchini Denmark na katika nchi nyingine za ulaya na kwingineko.