Kenya: Mahakama ya Juu yatupilia mbali ombi la Ruto la kupinga kushtakiwa kwa maafisa 6 wa IEBC

Your browser doesn’t support HTML5

Hatua ya Rais mteule wa Kenya William Ruto kuitaka Mahakama ya Juu kuwazuia makamishna sita wa tume ya uchaguzi kushtakiwa katika kesi ya kupinga ushindi wake akidai kuwa IEBC inafanya kazi kama tume lakini si ya makamishna binafsi imetupiliwa mbali.