Raia wa Burundi walalamikia uhaba wa mafuta ya petroli

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati serikali ya Burundi ikikiri kwamba imeleta mafuta ya kutosha ya petroli kutoka katika nchi za kigeni ili kukabiliana na uhaba wa bidhaa hiyo, raia wanalalamika kwamba mafuta hayo yanaendelea kukosekana katika maeneo ya mikoani ambapo nauli ya usafiri imepanda kwa kiasi kikubwa.