Visa vya ukatili wa watoto vyaongezeka hususan mkoani Tanga, Tanzania
Your browser doesn’t support HTML5
Ili kuweza kutokemeza vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vinavyoendelea Kuripotiwa kwa wingi mkoani Tanga wazazi na walezi wametakiwa kuacha kuvifumbia macho
na kutoa taarifa na ushirikiano kwa mamlaka husika.