Tanzania Universities Abroad yasaidia vijana kupata ajira nje ya nchi.

Your browser doesn’t support HTML5

Vijana wanaomaliza vyuo vya elimu ya juu baso wana changamoto kubwa ya kupata ajira Taasisi ya Universities Abroad inafanya juhudi za kuwapatia nafasi vijana hao wasomi na wasio na elimu ya juu katika nchi za Poland, Finland na Ujerumani.