Kwa Undani: Raila Odinga amewasilisha mahakamani maombi ya kutaka ushindi wa rais mteule Dr. William Ruto ufutiliwe mbali

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.