Mikataba ya wasanii yaendelea kukumbwa na changamoto

Your browser doesn’t support HTML5

Wasanii wanaoingia katika mikataba mbalimbali na makampuni ya promotion wamejipata katika njia panda baada ya kugundua kwamba hawakusoma maudhui ya mikataba hiyo kwa makini, na wanashauriwa kuwa makini zaidi kabla ya kujiingiza katika hali wasiyoweza kudhibiti.