Malawi: Wauguzi hawaruhusiwi kwenda kufanya kazi Marekani na Saudia

Your browser doesn’t support HTML5

Chama cha wauguzi nchini Malawi kimemsihi Rais Lazarus Chakwera kuwaruhusu wauguzi 2,000 kwenda kufanya kazi Marekani na Saudi Arabia, baada ya serikali yake kuamuru mpango huo usitishwe.