Tanzania: Uchunguzi wabaini ugonjwa ulioua watu 3 mkoani Lindi
Your browser doesn’t support HTML5
Waziri wa Afya wa Tanzania Ummy Mwalimu ametoa taarifa ya ugonjwa usiojulikana ulioibuka wilayani Ruangwa mkoani Lindi hivi karibuni na kuzua taharuki nchini humo, ugonjwa wenye dalili za homa inayoambatana na kutoka damu.